Psalms 37:1-4
Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki
(Zaburi Ya Daudi)
1 ▼
▼ Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bUsisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,wala usiwaonee wivu watendao mabaya,
2 ckwa maana kama majani watanyauka mara,
kama mimea ya kijani watakufa mara.
3 dMtumaini Bwana na utende yaliyo mema;
Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.
4 eJifurahishe katika Bwana
naye atakupa haja za moyo wako.
Copyright information for
SwhKC